KITINI CHA UTEKELEZAJI WA MFUMO WA PEPMIS & PIPMIS MACHI, 2024
Click here to download the document
![](https://ticd.ac.tz/wp-content/uploads/2023/07/Kinyashi-14-1-1100x500.jpg)
MAONESHO YA VYUO VIKUU TANZANIA (TCU)
WENGI WAJITOKEZA BANDA LA TICD KWENYE VIWANJA VYA MNAZI MMOJA.Wakazi wengi wa Dar es Salaam wamejitokeza kwenye maonesho ambayoyameandaliwa na Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU), na kufika katika Banda laChuo cha Maendeleo ya Jamii kwa ajili ya kupata usaidizi wa kujisajili ili kuwezakujiunga na chuo na kupata taarifa nyingine za muhimu.Tunaendelea kuwajulisha na wengine […]
![](https://ticd.ac.tz/wp-content/uploads/2023/07/Kinyashi-16-1-1100x500.jpg)
MAONESHO YA VYUO VIKUU TANZANIA (TCU)
WENGI WAJITOKEZA BANDA LA TICD KWENYE VIWANJA VYA MNAZI MMOJA. Wakazi wengi wa Dar es Salaam wamejitokeza kwenye maonesho ambayo ya meandaliwa na Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU), na kufika katika Banda la Chuo cha Maendeleo ya Jamii kwa ajili ya kupata usaidizi wa kujisajili ili kuweza kujiunga na chuo na kupata taarifa nyingine […]
![](https://ticd.ac.tz/wp-content/uploads/2023/02/tengeru1_n-1100x500.jpg)
Collaboration between Tengeru Institute of Community Development and Oslo Metropolitan University
Higher expectations as TICD, Oslo Metropolitan University Collaborate After two years of pandemic which showed the downsides of an interconnected world with the rapid spread of the virus, today February 22, 2023, a group of 12 Students from Oslo Metropolitan University in Norway, land at Tengeru Institute of Community Development for the purpose of strengthening […]
![](https://ticd.ac.tz/wp-content/uploads/2022/11/mewe-img-1669050951420-1100x500.jpg)
Taasisi yatoa mafunzo ya kuwajengea uwezo wafanyabiashara ndogondogo (Machinga) Mkoani Tanga
Matukio katika picha wakati wa mafunzo ya kuwaongezea ujuzi wafanyabiashara ndogondogo maarufu Wamachinga yaliyoandaliwa kwa ushirikiano wa Taasisi ya Maendeleo ya Jamii Tengeru na Halmashauri ya Jiji la Tanga. Novemba 18; 2022.